Contact Us

Telephone +447438566797

E mail ni allymohammed79@hotmail.com

6 comments:

  1. Nikiwa kama muumini na mdau katika maswala ya fedha napenda kuwashukuru sana kwa juhudi zenu za kuelimisha jamii juu ya kanuni za benki za Kiislamu na kanuni za Kiislamu juu ya mfumo wa uchumi.

    Mwenyezi Mungu awabariki.

    Hassan Saudin

    ReplyDelete
    Replies
    1. Shukran sana ndugu Hassan kwa kutupa moyo ispokua kushiriki kwenu na msaada wenu ni muhimu ktk kufanikishwa swala hili

      Delete
  2. Mdau, hongera sana kwa blog yako yenye mlengo chanya kabisa katika kuleta mapinduzi ya kibenk, hasa hasa Afrika na Tanzania. Ningependa sana ugusie maendeleo ya ukuawaji wa benki za kiislam Afrika ya Mashariki kwani kuna maendeleo makubwa,na benki nyingi tu zimeanzishwa, na ingekuwa vizuri kama ungezitaja katika blog yako, lakini naona mdau bado upo kinadharia sana pia umejikita sana Ulaya! Lakini hongera sana kwa hatua hii muhimu! Mdau Tanzania.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Asalam Alaikum tunashukuru kwa dhana hiyo nzuri. Kuhusu kugusia maendeleo ya ukuwaji wa benki za kiIslam Africa ya Mashariki tutayazungumzia kwani ni muhimu, lakin kwakua mada hii ni pana sana imebidi tuanze sehemu fulani. Kuhusu swala zima la kua bado tuko kinadharia sana inawezekana ni kweli kwa sababu mpaka sasa hatujaanza kuzungumzia hasa operation side, tunachofanya ni kujaribu kujenga mazingira ili msomaji apate picha kamili nini kinazngumziwa. Lakin haraka tu tutaingia ktk operation. Tunashukuru sana kwa ushauri wako ambao ni muhimu ktk kufanikishwa swala hili.

      Delete
  3. Assalam Alaykum,

    If the 'Interest Banking' defines that ''The Price of Capital is the rate of interest over given period of time 't' tenure'', then Non-Interest Banking (Islamic Banking) how is it defining about the Price of Capital?

    In other words how a Bank can generate business profits withought interest reliance?

    Says,

    Mohamed M.
    E-mail:mohamedtzn@aol.com

    ReplyDelete
    Replies
    1. Answer

      Islamic banking has the same purpose as conventional banking except that Islamic bank operates in accordance with the rules of Shariah.

      Central to Islamic bank is the fact that money itself has no intrinsic value, it is simply a medium of exchange. Each unit is 100% equal in value to another unit of the same denomination and you are not allowed to make a profit by exchanging cash with another person, this means that earning interest (riba) is not allowed. To comply with these rules, interest is not paid on Islamic banks. As you have mentioned, that the conversional bank, the investor/bank is assured of a predetermined rate of interest as price for capital, this is contrary to Islamic bank, whereby Islamic bank, promotes risk sharing between provider of capital (investor) and the user of funds (entrepreneur).

      As how Islamic bank generates it’s profit:Islamic Banks make profit from the buying and selling of approved goods and services. So banks will trade in sharia-compliant investments with the money deposited by customers, sharing the risks, and the profits between them. Islamic banks are structured so that they retain a clearly differentiated status between shareholders' capital and clients' deposits in order to make sure profits are shared correctly. Although Islamic bank cannot charge interest, the banks can still make profit from helping customers to purchase a property using ijara or murabaha scheme. With an Ijara leasing arrangement: the bank buys something for a customer and then leases it back to them. With a Murabaha works by the bank supplying specific goods for resale to the customer, this method incorporates a mutually agreed contract and a mutually negotiated margin, murabaha scheme a price is agreed at the outset which is more than the market value.

      e.g., instead of loaning the buyer money to purchase the item (such as a car, house etc), a bank might buy the item itself from the seller, and re-sell it to the buyer at a profit margin, while allowing the buyer to pay the bank in instalments, this profit is deemed to be a reward for the risk that is assumed by the bank. Other common terms used in Islamic banking to make profit include; safekeeping (Wadiah), and joint venture (Musharakah).

      We believe that our answers have explained enough, however, if you think that further explanation is needed, do not hasitate to contact us. Thanks in advance for your co-operation in this matter. Many thanks.

      Delete